Or do they say, “He1 has fabricated this ˹Quran˺!”? Say, ˹O Prophet,˺ “Produce ten fabricated sûrahs like it and seek help from whoever you can—other than Allah—if what you say is true!”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Au je, washirikina hawa, miongoni mwa watu wa Makkah, wanasema kwamba Muhammad ameizua hii Qur’ani? Waambie basi, «Iwapo mambo ni kama mnavyodai, leteni sura kumi mfano wake za kuzuliwa, na muwaite mnaowaweza miongoni mwa viumbe wote wa Mwenyezi Mungu, ili wawasaidie kuzileta hizi sura kumi, iwapo nyinyi ni wa kweli katika madai yenu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel