but no messenger ever came to them without being mocked.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakuna Mjumbe yoyote aliwajia wao isipokuwa walikuwa wakimfanyia shere.Katika haya pana kumliwaza Mtume, rehema na amani zimshukie. Na kama walivyokufanyia hawa, hivyo ndivyo walivyofanyiwa Mitume kabla yako.