And We have truly set forth every ˹kind of˺ lesson for humanity in this Quran, yet most people persist in disbelief.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na tumewafafanulia watu katika hii Qur’ani kila aina ya mfano unaopasa kuzingatiwa, kwa njia ya kuwasimamishia hoja, ili waifuate na waitumie, lakini wengi wa watu walikataa isipokuwa ni kuipinga haki na kuzikanusha hoja za Mwenyezi Mungu na dalili Zake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel