So go to him and say, ‘Indeed we are both messengers from your Lord, so let the Children of Israel go with us, and do not oppress them. We have come to you with a sign from your Lord. And salvation will be for whoever follows the ˹right˺ guidance.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Basi endeni kwake na mumwambie, ‘Sisi ni wajumbe wawili kutoka kwa Mola wako kwamba uwaache Wana wa Isrāīl na usiwakalifishe matendo wasiyoyaweza. Kwa hakika tumekujilia na ushahidi wa kimiujiza kutoka kwa Mola wako wenye kuonesha ukweli wetu katika ulinganizi wetu. Na kusalimika na adhabu ya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, ni kwa mwenye kuufuata uongofu Wake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel