These are two opposing groups that disagree about their Lord: as for the disbelievers, garments of Fire will be cut out for them and boiling water will be poured over their heads,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Related Verses
Haya ni mapote mawili ya watu, wametafautiana kuhusu Mola wao: watu wa Imani na watu wa ukafiri, kila mmoja anadai kuwa yeye yuko kwenye usawa. Wale waliokufuru watazungukwa na adhabu yenye sura ya nguo za Moto walizopatiwa wazivae, zitaichoma miili yao na yatamiminwa juu ya vichwa vyao maji yaliyofikia upeo wa ukali,
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel