Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Furqan 25:9

25:9
انظر كيف ضربوا لك الامثال فضلوا فلا يستطيعون سبيلا ٩
ٱنظُرْ كَيْفَ ضَرَبُوا۟ لَكَ ٱلْأَمْثَـٰلَ فَضَلُّوا۟ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ سَبِيلًۭا ٩
ٱنظُرۡ
كَيۡفَ
ضَرَبُواْ
لَكَ
ٱلۡأَمۡثَٰلَ
فَضَلُّواْ
فَلَا
يَسۡتَطِيعُونَ
سَبِيلٗا
٩
See ˹O Prophet˺ how they call you names!1 So they have gone so ˹far˺ astray that they cannot find the ˹Right˺ Way.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Tazama, ewe Mtume, namna walivyosema, hawa wakanushaji, juu yako maneno hayo ya ajabu yanayofanana na mifano kwa ugeni wake, ili wafikie kukukanusha, kwa hivyo wakawa mbali na haki, na kwa hivyo hawapati njia ya kuifikia (hiyo haki) ili wayarakibishe maneno waliyoyasema kuhusu wewe, ya urongo na uzushi.