Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Ash-Shu'ara 26:121

26:121
ان في ذالك لاية وما كان اكثرهم مومنين ١٢١
إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةًۭ ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ ١٢١
إِنَّ
فِي
ذَٰلِكَ
لَأٓيَةٗۖ
وَمَا
كَانَ
أَكۡثَرُهُم
مُّؤۡمِنِينَ
١٢١
Surely in this is a sign. Yet most of them would not believe.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika katika maelezo ya Nūḥ na yale yaliyokuwa ya kuokolewa Waumini na kuangamizwa wakanushaji ni alama na ni zingatio kubwa kwa waliokuja baada yao. Na wengi wa wale waliokisikia kisa hiki hawakuwa ni wenye kumuamini Mwenyezi Mungu, Mtume Wake na sheria Zake.