And David was succeeded by Solomon, who said, “O people! We have been taught the language of birds, and been given everything ˹we need˺. This is indeed a great privilege.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na Sulaymān alimrithi baba yake Dāwūd unabii na elimu. Na alisema Sulaymān kuwaambia watu wake, «Enyi watu! Tumefundishwa na kufahamishwa maneno ya ndege, na tumepewa kila kitu kinachohitajika. Kwa hakika, huu ambao Mwenyezi Mungu Aliyetukuka Ametupa ndio wema ulio waziwazi ambao Anatufadhilisha nao juu ya wasiokuwa sisi.