If they happen to be aboard a ship ˹caught in a storm˺, they cry out to Allah ˹alone˺ in sincere devotion. But as soon as He delivers them ˹safely˺ to shore, they associate ˹others with Him once again˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wanapopanda makafiri kwenye majahazi baharini, na wakaogopa kuzama, wanampwekesha Mwenyezi Mungu na kumtakasia dua wakati wa shida yao. Na Anapowaokoa akawafikisha kwenye nchi kavu, na shida ikawaondokea, wanarudi kwenye ushirikina wao. Hakika yao wao, kwa kufanya hivi, wanagongana, wanampwekesha Mwenyezi Mungu kipindi cha shida na wanamshirikisha kipindi cha raha.