Observe the ˹five obligatory˺ prayers—especially the middle prayer1—and stand in true devotion to Allah.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Zihifadhini, enyi Waislamu, Swala tano zilizofaradhiwa kwa kudumu nazo katika kuzitekeleza kwa nyakati zake, masharuti yake, nguzo zake yanayopasa yake. Na muhufadhi swala iliyo katikati ya swala hizo, nayo ni Swala ya Alasir Na simameni katika Swala zenu hali ya kumtii Mwenyezi Mungu, kumnyenyekea na kumdhalilikia.