those who establish prayer, pay alms-tax, and have sure faith in the Hereafter.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wanaotekeleza Swala kikamilifu kwa nyakati zake na wanaotoa Zaka zilizo lazima juu yao kwa wanaostahiki kupewa. Na hali wao wana yakini kuwa kuna kufufuliwa na kulipwa Akhera.