Or do they say, “He has fabricated it!”? No! It is the truth from your Lord in order for you to warn a people to whom no warner has come before you, so they may be ˹rightly˺ guided.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Kwani je, wanasema washirikina kuwa Muhammad Ameizua Qur’ani? Wamesema urongo, bali hiyo Qur’ani ndiyo ukweli uliothibiti ulioteremshwa kwako, ewe Mtume, kutoka kwa Mola wako, ili uwaonye nayo watu ambao hawakujiwa na muonyaji kabla yako wewe, huenda wao wakaongoka: wakaijua haki, wakaiamini, wakaitanguliza na wakakuamini wewe.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel