People ask you ˹O Prophet˺ about the Hour. Say, “That knowledge is only with Allah. You never know, perhaps the Hour is near.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wanakuuliza watu , ewe Mtume, kuhusu kipindi cha Kiyama kwa njia ya kukiona ni kitu ambacho ni mbali kutokea na kwa njia ya kukikanusha. Waambie, «Hakika ya mambo ni kwamba Ujuzi wa kipindi cha Kiyama uko kwa Mwenyezi Mungu.» Na ni lipi linalokujuza wewe, ewe Mtume kwamba huenda Kiyama kikawa karibu?