And whoever We grant a long life, We reverse them in development.1 Will they not then understand?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na yoyote tutakayeurefusha umri wake mpaka awe mkongwe tunamrudisha kwenye hali ya udhaifu wa akili na udhaifu wa mwili. Basi hawatii akilini kwamba yule Aliyefanya hili ni mwenye uweza wa kuwafufua?