And they argue with Us—forgetting they were created—saying, “Who will give life to decayed bones?”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na mkanushaji Kufufuliwa alitupigia mfano usiofaa kupigwa, nao ni kulinganisha uweza wa Muumba na ule wa muumbwa, na akasahau kulianzaje kule kuumbwa kwake. Alisema, «Ni nani mwenye kuhuisha mifupa iliyochakaa na kumumunyuka?