In fact, he came with the truth, confirming ˹earlier˺ messengers.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wamesema urongo! Muhammad sivyo vile walivyomueleza. Bali amekuja na Qur’ani na upwekeshaji Mwenyezi Mungu, na akathibitisha ukweli wa Mitume katika kile walichokitolea habari kuhusu sheria ya Mwenyezi Mungu na kumpwekesha Yeye.