˹It will be said to both,˺ “Since you all did wrong, sharing in the punishment will be of no benefit to you this Day.”1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Haitawafalia kitu leo, enyi mlioupa mgongo utajo wa Mwenyezi Mungu, kwa kushirikisha kwenu duniani, kuwa mmeshirikiana na wenzenu (wa Kishetani) katika adhabu. Basi kila mmoja ana fungu lake kamili la adhabu kama mlivyoshirikiana katika ukanushaji.