And tell them that the ˹drinking˺ water must be divided between them ˹and her˺, each taking a turn to drink ˹every other day˺.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na uwape habari kwamba maji yamegawanywa baina ya watu wako na ngamia: ngamia ana siku yake na nyinyi mna siku yenu, kila siku ya kunywa atakuja yule ambaye ni siku yake aliyogawanyiwa, na atakatazwa yule ambaye si siku yake aliyogawanyiwa.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel