So let the people of the Gospel judge by what Allah has revealed in it. And those who do not judge by what Allah has revealed are ˹truly˺ the rebellious.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi na wahukumu watu wa Injili, ambao alitumwa kwao Īsā, kwa yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wale ambao hawakuhukumu kwa yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu, Basi hao ndio wenye kutoka kwenye amri Yake, wenye kumuasi.