You see many of them racing towards sin, transgression, and consumption of forbidden gain. Evil indeed are their actions!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na utawaona, ewe Mtume, wengi miongoni mwa Mayahudi wanayakimbilia maasia ya kusema urongo, uzushi, kuzifanyia uadui hukumu za Mwenyezi Mungu na kula mali ya watu kinyume na haki. Ni maovu mno matendo yao na uadui wao.