Shun all sin—open and secret. Indeed, those who commit sin will be punished for what they earn.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na acheni, enyi watu, maasia yote, yaliyo waziwazi na yaliyo ya siri. Hakika wale wanaofanya maasia, Mola wao Atawatesa kwa sababu ya yale maovu ambyo walikuwa wakiyafanya.