They replied, “Let him and his brother wait and send mobilizers to all cities
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wakasema waliohudhuria mjadala wa Mūsā miongoni mwa mabwana wa watu wa Fir’awn na wakubwa wao, «Mfanye Mūsā na Hārūn wangojee, na upeleke askari kwenye miji ya Misri na majimbo yake.