If only you could see when the angels take the souls of the disbelievers, beating their faces and backs, ˹saying,˺ “Taste the torment of burning!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na lau ingalionekana, ewe Mtume, hali ya Malaika ya kuzichukua roho za Makafiri na kuzitoa, na huku wao wanawapiga nyuso zao wakiwaelekea, na wanawapiga migongo yao wakiwakimbia na wanawaambia, «Onjeni adhabu inayounguza», ungaliona jambo kubwa. Na msururu huu wa maneno ingawa sababu yake ni vita vya Badr, lakini unakusanya hali ya kila kafiri.