And there are some who had made a vow to Allah: “If He gives us from His bounty, we will surely spend in charity and be of the righteous.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na miongoni mwa mafukara wa wanafiki, kuna wanaojipa ahadi ya mkazo wenyewe kwamba lau Mwenyezi Mungu Atampa mali, atayatolea sadaka, atafanya vile watu wema wanafanya katika mali yao na atafuata njia ya wema.