˹The wicked will be told,˺ “Taste this. You mighty, noble one!1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ataambiwa mfanya dhambi huyo mbaya, «Onja adhabu hii unayoadhibiwa kwayo Leo! Hakika wewe ni mheshimiwa katika watu wako, ulio mtukufu kwao.» Katika haya kuna kumfanyia maskhara na kumlaumu.