The disbelievers say of the believers, “Had it been ˹something˺ good, they1 would not have beaten us to it.” Now since they reject its guidance, they will say, “˹This is˺ an ancient fabrication!”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wale walioukanusha unabii wa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, walisema wakiwaambia wale waliomuamini, “Lau huko kumuamini Muhammad kwa aliyokuja nayo ni kheri hamngalitutangulia kuamini.” Na kwa kuwa hawakujiongoza na hii Qur’ani wala hawakunufaika na ukweli uliyomo ndani yake, watasema, “Huu ni urongo uliopokewa kwa watu wa kale.”