Allah knows well those among you who discourage ˹others from fighting˺, saying ˹secretly˺ to their brothers, “Stay with us,” and who themselves hardly take part in fighting.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika Mwenyezi Mungu Anawajua wale wenye kuwavunja watu moyo wasipigane jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu, na wenye kuwaambia ndugu zao, «Njooni mjiunge na sisi na muacheni Muhammad! Msihudhurie vitani pamoja na yeye.» Kwani sisi tunachelea msije mkaangamia anapoangamia yeye. Na wao, pamoja na uvunjaji moyo wao huu, hawaji vitani isipokuwa kwa tukizi, kwa kujionyesha na kutaka kusikika na kuogopa fedheha.