Surely those who offend Allah1 and His Messenger2 are condemned by Allah in this world and the Hereafter. And He has prepared for them a humiliating punishment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika ya wale wanaomuudhi Mwenyezi Mungu kwa kumshirikisha na kufanya maasia mengine, na wakamuudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa maneno na vitendo, Mwenyezi Mungu atawafukuza na Atawaweka mbali na kheri duniani na Akhera, na Amewaandalia, huko Akhera, adhabu kali yenye kuwadhalilisha na kuwafanya wanyonge.