Had Allah willed, they would not have been polytheists. We have not appointed you as their keeper, nor are you their maintainer.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na lau Mwenyezi Mungu Alitaka wasishirikishe hawa washirikina hawangalishirikisha, lakini Yeye, Aliyetukuka, ni Mjuzi wa yatakayokuwa ya ubaya wa uchaguzi wao na kufuata kwao matamanio yaliyopotoka. Na hatukukufanya wewe ni mchunguzi wa kuwatunzia matendo yao wala hukuwa ni msimamizi wao wa kuwapangia maslahi yao.