They will each be assigned ranks according to their deeds. And your Lord is not unaware of what they do.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na kila mwenye kufanya vitendo vya kumtii Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, vya kumuasi ana daraja kutokana na vitendo vyake, Mwenyezi Mungu Atamfikishia viwango hivyo na Atamlipa kwavyo. Na Mola wako, ewe Mtume, Hakuwa ni Mwenye kughafilika na wanayoyafanya waja Wake.