˹The time of˺ people’s judgment has drawn near, yet they are heedlessly turning away.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Umekaribia wakati wa kuhesabiwa watu juu ya matendo waliyoyatanguliza, pamoja na hivyo, makafiri wanaishi wakiwa kwenye hali ya kupumbaa, wameghafilika na uhakika huu, wakiwa kwenye hali ya kulipa mgongo onyo hili.