In it they will groan, and will not be able to hear.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hawa wenye kuadhibiwa Motoni wataona uchungu unaooneshwa na mlio wa sauti zao ambapo pumzi zao zinatoka kwa nguvu sana kutoka kwenye vifua vyao. Na wao wakiwa Motoni hawasikii kwa ukali wa adhabu wanayopewa.