not even hearing the slightest hissing from it. And they will delight forever in what their souls desire.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hawatasikia sauti ya mroromo wake na kuchomeka kwa miili humo, kwani wameshakaa kwenye nyumba zao huko Peponi na wamekuwa ni wenye kukaa makao ya milele katika starehe na ladha zake zinazotamaniwa na nafsi zao.