If they turn away, then say, “I have warned you all equally. I do not know if what you are threatened with is near or far.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi hawa wakiupuka Uislamu waambie, «Ninawafikishia nyote kile ambacho Mwenyezi Mungu Aliyetukuka Amenitumia wahyi nacho. Mimi na nyinyi tuko sawa katika kuyajua yale ninayowaonya nayo na kuwatahadharisha, na mimi sijui, baada ya hapo, ni lini adhabu mliyoagiziwa itawashukia?»