˹They were told,˺ “Do not run away! Return to your luxuries and your homes, so you may be questioned ˹about your fate˺.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wakaitwa wakiwa katika hali hii na kuambiwa, «Msikimbieni, na rudini kwenye ladha zenu na starehe zenu katika ulimwengu wenu wenye kupumbaza na nyumba zenu zilizojengwa, kwani huenda mkaulizwa jambo kuhusu ulimwengu wenu. Na hiyo ni kwa njia ya kuwafanyia shere na ubishi.»