Whatever new reminder comes to them from their Lord, they only listen to it jokingly,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakuna kitu chochote katika Qur’ani chenye kuteremka, kinachosomwa kwao na chenye kuwakumbusha upya, isipokuwa huwa wakikisikia wakiwa katika hali ya kucheza na kufanya shere.