Say, ˹O Prophet,˺ “I warn you only by revelation.” But the deaf cannot hear the call when they are warned!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Sema, ewe Mtume, kuwaambia wale uliotumilizwa kwao, «Siwatishii adhabu ya Mwenyezi Mungu isipokuwa ni kwa wahyi wa Mwenyezi Mungu,» nao ni Qur’ani. «Lakini makafiri hawasikii yale wanayosomewa masikizi ya kuzingatia wanapoonya, na kwahivyo hawafaidiki nayo.»