And We admitted him into Our mercy, ˹for˺ he was truly one of the righteous.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na Mwenyezi Mungu Akamkamilishia nema, Akamtia ndani ya rehema Yake kwa kumuokoa na kile kilichowafikia watu wake kwa kuwa yeye alikuwa ni miongoni mwa wale wanaofanya matendo ya utiifu Kwake.