Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Anbiya 21:93

21:93
وتقطعوا امرهم بينهم كل الينا راجعون ٩٣
وَتَقَطَّعُوٓا۟ أَمْرَهُم بَيْنَهُمْ ۖ كُلٌّ إِلَيْنَا رَٰجِعُونَ ٩٣
وَتَقَطَّعُوٓاْ
أَمۡرَهُم
بَيۡنَهُمۡۖ
كُلٌّ
إِلَيۡنَا
رَٰجِعُونَ
٩٣
Yet the people have divided it into sects. But to Us they will all return.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Lakini watu walitafautiana juu ya Mitume wao, na wengi wa wafauasi wao katika dini walipambanukana wakawa ni makundi na mapote, wakaabudu viumbe na matamanio. Na wote hao ni wenye kurejea kwetu na ni wenye kuhesabiwa juu ya yale waliyoyafanya.