It is impossible for a society which We have destroyed to ever rise again,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Haiwezekani kwa watu wa miji tuliyoiangamiza, kwa sababu ya ukanushaji wao na dhulma zao, kurudi duniani kabla ya Siku ya Kiyama ili kurakibisha kasoro zao ambazo walikuwa nazo.