ushering in the True Promise.1 Then—behold!—the disbelievers will stare ˹in horror, crying,˺ “Oh, woe to us! We have truly been heedless of this. In fact, we have been wrongdoers.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
hapo Siku ya Kiyama itakuwa imekaribia na vituko vyake vitajitokeza, na hapo utayaona macho ya makafiri yamekodoka hayapepesi kwa kibabaiko kikali, huku wakiwa wanajiapiza maangamivu kwa majuto wakisema, «Ee ole wetu! Kwa hakika tulikuwa tumeghafilika na Siku hii na kujiandalia nayo na kwa hivyo tulikuwa madhalimu.»