Had those idols been ˹true˺ gods, they would not have entered it. And they will be there forever.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Lau hawa ambao mliwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka walikuwa ni waungu wanaostahiki kuabudiwa, hawangaliingia moto wa Jahanamu pamoja na nyinyi, enyi washirikina. Kwa hakika, wote hao, waabudu na waabudiwa, ni wenye kukaa milele ndani ya moto wa Jahanamu.