Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Anfal 8:20

8:20
يا ايها الذين امنوا اطيعوا الله ورسوله ولا تولوا عنه وانتم تسمعون ٢٠
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓا۟ أَطِيعُوا۟ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ وَلَا تَوَلَّوْا۟ عَنْهُ وَأَنتُمْ تَسْمَعُونَ ٢٠
يَٰٓأَيُّهَا
ٱلَّذِينَ
ءَامَنُوٓاْ
أَطِيعُواْ
ٱللَّهَ
وَرَسُولَهُۥ
وَلَا
تَوَلَّوۡاْ
عَنۡهُ
وَأَنتُمۡ
تَسۡمَعُونَ
٢٠
O believers! Obey Allah and His Messenger and do not turn away from him while you hear ˹his call˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Enyi ambao mlimuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, kuweni na utiifu kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake katika yale Aliyowaamrisha kwayo na Akawakataza nayo, na msiache kumtii Mwenyezi Mungu na kumtii Mtume Wake na hali nyinyi mnazisikia hoja na dalili zinazosomwa kwenu kwenye Qur’ani.