As for the disbelievers, they are guardians of one another. And unless you ˹believers˺ act likewise, there will be great oppression and corruption in the land.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wale waliokanusha, ni wenye kusaidiana wao kwa wao. Na iwapo hamtakuwa, enyi Waumini, ni wenye kusaidiana nyinyi kwa nyinyi, basi kutapatikana katika ardhi kufitiniwa Waumini na dini ya Mwenyezi Mungu na uharibifu mkubwa wa kuzuiwa njia ya Mwenyezi Mungu na kutiwa nguvu misingi ya ukafiri.