those who patiently endure, and put their trust in their Lord!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Mabustani hayo yaliyotajwa ni ya Waumini waliovumilia katika kumuabudu Mwenyezi Mungu, wakashikamana na dini yao na wakawa wanamtegemea Mwenyezi Mungu katika riziki zao na kupigana jihadi na maadui wao.