Pharaoh said, “If you have come with a sign, then bring it if what you say is true.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Fir'awn alisema kumwambia Mūsā, «Ukiwa umekuja na alama, kama unavyodai, basi niletee na uihudhurishe mbele yangu, ili madai yako yawe ya sawa na ukweli wako uthibiti, iwapo wewe ni mkweli katika madai yako kuwa wewe ni mjumbe wa Mola wa viumbe.»