Then he drew his hand ˹out of his collar˺ and it was ˹shining˺ white for all to see.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na akauvuta mkono wake kutoka kwenye uwazi wa kanzu iliyofunguliwa kifuani au chini ya kapwa lake, na papo hapo ukawa mweupe kama maziwa usio na mbalanga, ukiwa ni alama kwa Fir'awn; akiurejesha unarudi rangi yake ya mwanzo, kama ulivyo mwili wake.