Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-A'raf 7:109

7:109
قال الملا من قوم فرعون ان هاذا لساحر عليم ١٠٩
قَالَ ٱلْمَلَأُ مِن قَوْمِ فِرْعَوْنَ إِنَّ هَـٰذَا لَسَـٰحِرٌ عَلِيمٌۭ ١٠٩
قَالَ
ٱلۡمَلَأُ
مِن
قَوۡمِ
فِرۡعَوۡنَ
إِنَّ
هَٰذَا
لَسَٰحِرٌ
عَلِيمٞ
١٠٩
The chiefs of Pharaoh’s people said, “He is indeed a skilled magician,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Watukufu wa watu wa Fir'awn walisema, «Hakika Mūsā ni mchawi, anayatawala macho ya watu kwa kuwadanganya mpaka ikawaingia kwenye fikira zao kuwa fimbo ni nyoka, na kukiona kitu kinyume na vile kilivyo, na yeye ana ujuzi mwingi wa uchawi na ana uhodari nao.