What they follow is certainly doomed to destruction and their deeds are in vain.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika hawa wanaowakalia hawa masanamu, ushirikina waliomo ndani yake umeangamizwa, na ni yenye kuangamiza na ni ya urongo yale waliokuwa wakiyafanya ya kuwaabudu masanamu hao ambao hawawazuilii adhabu ya Mwenyezi Mungu ikiwashukia.