He appealed, “Then delay my end until the Day of their resurrection.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Iblisi akasema kumwambia Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kuwa juu, alipokata tamaa na rehema Yake, «Nipe muda mpaka Siku ya watu kufufuliwa, ili nipate kumpoteza ninayeweza kumpoteza kati ya wanadamu.»